Posts

Showing posts from May, 2020

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AKUTANA NA WAKILI MKUU WA SERIKALI

Image
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba afanya mazungumzo na Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Clement Mashamba ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (wa pili kushoto) katika picha ya pamoja na mgeni wake Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Clement Mashamba (wa pili kulia) baada ya kumtembelea ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.

KIKOSI KAZI KUSHUGHULIKIA MALALAMIKO YA WAFUGAJI NCHINI KUUNDWA

Image
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiongoza kikao cha viongozi mbalimbali wakiwemo Mawaziri wa Mifugo na Uvuvi, Maliasili na Utalii, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Makatibu Wakuu wa Wizara za  Katiba na Sheria, Mifugo na Uvuvi, Maliasili na Utalii na Mwendesha Mashtaka nchini kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji. Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina (aliyenyanyua mkono) akifafanua jambo katika kikao cha viongozi kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji. Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akiongea  katika kikao cha viongozi kujadili suluhisho la malalamiko ya wafugaji.

MWENYEKITI TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA AMTEMBELEA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA

Image
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akipokea makabrasha yanayohusu majukumu ya Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume hiyo Mhe.    Jaji Mstaafu Januari Msoffe alipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kujitambulisha kwa Waziri baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo hivi karibuni. Mhe.    Jaji Mstaafu Januari Msoffe (katikati) akifafanua jambo kwa  Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba   alipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kujitambulisha. Mwingine kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Kisheria kwa Umma wizarani hapo Bw. Griffin Mwakapeje.   Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba   akiongea na  Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mhe.    Jaji Mstaafu Januari Msoffe na ujumbe wake walipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kujitambulisha.

MWIGULU ATAKA HAKI ZA BINADAMU ZILINDWE

Image
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba akipokea maua kutoka kwa Wakili wa Serikali Bi. Esther Msambazi alipofika kwa mara ya kwanza Wizarani hapo baada ya kuapishwa jana kuiongoza wizara hiyo. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba akiwa Ofisini kwake Mtumba, jijini Dodoma kwa mara ya kwanza, baada ya kuapishwa jana kuiongoza wizara hiyo. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba akiwa na baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya Wizara hiyo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Prof. Adelardus Kilangi katika kikao kifupi cha ukaribisho aliporipoti ofisini kwake leo (Mei 04/2020) Mtumba, jijini Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba akiwaongoza watumishi wa Wizara hiyo kumuombea mtangulizi wake aliyefariki hivi karibuni. XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Mwigulu Lameck Nchemba amesema atasimamia yale ambayo ana hakika ni matamanio ya   Rais Magufuli kuona yakitekelezw

UTEUZI

Image

RATIBA YA MAZISHI YA BALOZI DKT AUGUSTINE MAHIGA

Image

PUMZIKA KWA AMANI BALOZI DKT. AUGUSTINE MAHIGA

Image