Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana wakati anaongea na Balozi wa Singapore nchini Mhe. Douglas Foo , Aprili 22, 2024 Bungeni Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiwa na Mgeni wake Balozi wa Singapore nchini Mhe. Douglas Foo baada ya kufanya mazungumzo, Aprili 22, 2024 Bungeni Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akimkabidhi zawadi Mgeni wake Balozi wa Singapore nchini Mhe. Douglas Foo baada ya kufanya mazungumzo, Aprili 22, 2024 Bungeni Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akipokea zawadi kutoka kwa Mgeni wake Balozi wa Singapore nchini Mhe. Douglas Foo baada ya kufanya mazungumzo, Aprili 22, 2024 Bungeni Dodoma. Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, Balozi wa Singapore nchini Mhe. Douglas Foo , kwenye picha ya pamoja na watumishi wengine walioshiriki kikao hicho Aprili 22, 2024 Bungeni Dodoma. xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx Na William Mabusi – WKS Dodoma Waziri wa K